Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kiongozi wa waasi nchini Sudan Riek Machar ahofia usalama Juba, Rais Felix Tshisekedi atembelea Mukwidja Kivu kusini
Imechapishwa:
Cheza - 20:11
Makala ya juma hili imeanzia nchini Sudan Kusini ambako kiongozi wa upinzani Riek Machar alisema kuwa hayuko tayari kurejea Juba kwa sababu za kiusalama; ni juma la maombolezo DRC, rais Felix Tshisekedi alitembelea kijiji cha Mukwidja baada ya ajali ya boti iliyosababisha vifo vya watu zaidi ya thelathini katika ziwa Kivu na wengine mia kutoweka,wakati kimataifa tumeangazia mkutano wa kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un na rais Putin kufanyika juma lijalo.