Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Kiongozi mpya wa kijeshi Sudan aahidi kurejesha utawala wa kiraia, rais Felix Tshisekedi atembelea mashariki mwa DRC, Likoud yashinda uchaguzi Israeli

Imechapishwa:

Katika makala hii tumeangazia hatua ya utawala mpya nchini Sudani ya kuanzisha  operesheni ya kuwakamata 'wahalifu' na kutoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuunga mkono baraza la kijeshi la mpito, ambalo lilimtimua mamlakani rais Omar al-Bashir wiki iliyopita, rais wa DRC Felix Tshisekedi aanza ziara mashariki mwa nchi hiyo, pia Libya, na ushindi wa Netanyahu katika uchaguzi wa wabunge nchini Israeli

Luteni jenerali Omar Zain al-Abdin, kiongozi mpya wa baraza la kijeshi nchini Sudan katika mkutano na wanahabari jijini Khartoum, Sudan Aprili 12, 2019
Luteni jenerali Omar Zain al-Abdin, kiongozi mpya wa baraza la kijeshi nchini Sudan katika mkutano na wanahabari jijini Khartoum, Sudan Aprili 12, 2019 AFP/ A.Shazly
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.