Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Waasi wa zamani wa M23 DRC warejeshwa nyumbani kutoka Uganda, Buhari ashinda uchaguzi Nigeria, Rais wa Marekani akutana na Kim Hanoi, Vietnam
Imechapishwa:
Cheza - 20:15
Katika makala ya wiki hii tumeangazia kurejeshwa nyumbani kwa wapiganaji 67 wa kundi lazamani la M23 waliokuwa Uganda, nchini Burundi usalama waendelea kuzorota, tume ya uchaguzi nchini Nigeria yamtangaza M. Buhari kuwa mshindi, umeangaziwa mkutano kati ya rais Donald Trump na kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un huko Hanoi Vietnam baada ya ule wa mwezi juni huko Singapore.