Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Viongozi wa umoja wa Afrika watamatisha mkutano wao Addis Ababa, Kagame akutana na Tshisekedi wa DRC,Marekani na ujenzi wa ukuta na Mexico
Imechapishwa:
Cheza - 15:36
Katika makala ya juma hili, tumengazia kutamatika mkutano wa viongozi wa mataifa ya umoja wa Afrika huko Addis Ababa Ethiopia ambapo rais wa Misri aliteuliwa kuwa mwenyekiti mpya wa umoja huo, akipokea kijiti toka kwa mtangulizi wake rais wa Rwanda Paul Kagame.huko DRC mkutano kati ya rais mpya Felix Tshisekedi, lakini pia chama kipya cha upinzani kinachoongozwa na Agathon Rwasa, pamoja na siasa za Marekani