Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

DRC yampata rais mpya, historia yaandikwa

Imechapishwa:

DRC imempata rais mpya, Felix Thisekedi. Nchi hiyo ya Afrika ya Kati imeshuhudia ubadilishanaji wa madaraka kwa njia ya amani kwa mara ya kwanza tangu ilipopata uhuru mwaka 1960. Tunajadili hili kwa kina.

Rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi akiapishwa Januaro 24 2019
Rais mpya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi akiapishwa Januaro 24 2019 REUTERS/OLIVIA ACLAND
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.