Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Maandamano nchini Zimbabwe

Imechapishwa:

Zimbabwe imeshuhudia maandamano jijini Harare, raia wa nchi hiyo wakilalamikia kupanda kwa bei ya mafuta maradufu. Rais Emmerson Mnangagwa anasema ni kwa sababu uchumi umeyumba. Una mtazamo gani msikilizaji.

Maandamano nchini Zimbabwe
Maandamano nchini Zimbabwe REUTERS/Philimon Bulawayo
Vipindi vingine
  • 09:41
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.