Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Mustakabali wa DRC baada ya matokeo ya uchaguzi

Imechapishwa:

Baada ya tume ya uchaguzi nchini DRC CENI kumtangaza mshindi wa kiti cha uraisi mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi,tunaangazia nini matarajio ya raia sasa,nini mustakabali wa DRC wakati huu upinzani wa lamuka ukipinga matokeo hayo kwa kudai udanganyifu ulifanyika.

Tshisekedi mshindi wa Urais nchini DRC
Tshisekedi mshindi wa Urais nchini DRC Félix Tshisekedi
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.