Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Raia wa DRC waendelea kusubiri matokeo,mtandao wazimwa

Imechapishwa:

Makala ya mjadala wa wiki inaangazia hali ya mambo nchini DRC wakati huu raia wakisubiri matokeo ya kura ya uraisi wabunge na viongozi wa wilaya kote nchini humo kunashuhudiwa mtandao ukizimwa kwa sababu kiusalama kama ambavyo serikali imeeleza...karibu,wazungumzaji ni Cyllile Muhongya na Jaribu muliwavyo wote wakiwa Mashariki mwa DRC.

Mpiga kura akipiga kura nchini DRC DEC 30 2018
Mpiga kura akipiga kura nchini DRC DEC 30 2018
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.