Jua Haki Zako
Tathimini ya haki za binadamu barani Afrika mwaka 2018 na matarajio ya 2019
Imechapishwa:
Cheza - 09:39
Bara la Afrika mwaka 2018 limekabiliwa na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwemo mauaji, utekaji nyara, utungwaji wa sheria zinazokinzana na uhuru wa kujieleza na kukusanyika. Fredrick Nwaka amekuandalia makala haya ya Jua haki zako.