Habari RFI-Ki
Mpango wa umoja wa Afrika kupunguza kikosi cha AMISOM nchini Somalia una tija?
Imechapishwa:
Cheza - 10:13
Umoja wa Afrika AU unapanga kupunguza wanajeshi 1000 waliopo katika kikosi cha kulinda amani cha AMISOM nchini Somalia. Hata hivyo hatua hii inachukuliwa huku bado taifa hilo la pembe ya Afrika likikabiliwa na changamoto za usalama. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji ili kupata maoni yao