Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Wananchi wa DRC kupiga kura siku ya Jumapili

Imechapishwa:

Wananchi wa DRC watapiga kura siku ya Jumapili, kumchagua rais mpya. Kampeni zinamalizika wiki hii kuelekea Uchaguzi huo wa kihistoria.

Mgombea wa chama tawala nchini  Emmanuel Ramazani Shadary
Mgombea wa chama tawala nchini Emmanuel Ramazani Shadary Junior D. KANNAH / AFP
Matangazo ya kibiashara

Ushindani mkali ni kati ya wagombea watatu, Emmanuel Shadary kutoka chama tawala, Martin Fayulu kutoka muungano wa upinzani wa Lamuka, na Felix Tshisekedi.

Tume ya Uchaguzi CENI inasema iko tayari kwa uchaguzi huu licha ya kukabiliana na changamoto mbalimbali ikiweko kuteketea moto vya baadhi ya vifaa vya kupigia kura.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.