Habari RFI-Ki
Matarajio ya wananchi wa DRC, wakati huu wagombea wakitarajia kuanza kunadi sera zao
Imechapishwa:
Cheza - 10:07
Kampeni za uchaguzi mkuu nchini DRC zinatazamiwa kuanza wiki lakini yapi ni matarajio ya raia wa DRC kwa wagombea wa nafasi mbalimbali. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu