Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wapinzani wawili DRC waondoa saini zao kuunga mgombea mmoja, Waganda watakiwa kulinda wachina, moto waua watu California
Imechapishwa:
Cheza - 20:21
Makala ya wiki hii imeangazia hatua ya wanasiasa wawili wa upinzani: Felix Tshisekedi wa UDPS na Vital Kamerhe kiongozi wa chama cha UNC kuondoa saini zao kuhusu uteuzi wa mgombea Martin Fayulu kupeperusha bendera ya upinzani, katika uchaguzi wa desemba 23 mwaka huu.Nchini Tanzania serikali ilisema itanunua korosho zote nchini, kimataifa tumeangazia Uingereza na Brexit mpango wa kujiondoa umoja wa ulaya