Habari RFI-Ki
Mauaji ya walinda amani wa Umoja wa Afrika huko DRC yanatoa taswira gani wakati huu taifa hilo likijiandaa kwa uchaguzi?
Imechapishwa:
Cheza - 10:02
Askari saba, sita kutoka Malawi na mmoja kutoka Tanzania wameuawa katika Mji wa Beni, Mashariki mwa DRC. Je matukio haya ya mauaji ya walinda amani wa Umoja wa Mataifa yanatoa taswira gani wakati huu taifa hilo likijiandaa kwa uchaguzi?Fredrick Nwaka ameakuandalia makala ya Habari Rafiki kwa kuzungumza na wasikilizaji wetu