Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Siasa za mashine za kupigia kura nchini DRC

Imechapishwa:

Kuelekea Uchaguzi Mkuu nchini DRC, bado kuna mvutano wa matumizi ya mashine za kupigia kura. Wanasiasa wa upinzani na mashirika ya kiraia yanataka zisitumiwe kwa hofu ya wizi wa kura, lakini Tume ya Uchaguzi CENI, inasisitiza kuwa ni sharti zitumiwe. Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, wametoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ili mwafaka kupatikana. Tunajadili hili kwa kina.

Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi (CENI) imeonyesha mashine ya kupigia kura itakayotumika katika uchaguzi wa Desemba 23.
Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi (CENI) imeonyesha mashine ya kupigia kura itakayotumika katika uchaguzi wa Desemba 23. © AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.