Habari RFI-Ki
Serikali ya burundi yasitisha shughuli za mashirika ya kimataifa
Imechapishwa:
Cheza - 09:27
Serikali ya burundi imezua gumzo baada ya kusitisha shughuli za mashirika ya kiraia nchini humo kwa kile ilichosema inachunguza ikiwa yanafanya kazi kwa mujibu wa sheria za nchi hiyo.