Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Mauaji ya Beni yawachosha raia wa mashariki mwa DRC

Imechapishwa:

Jeshi la DRC (FARDC) limeshtumu muungano unaojumuisha raia wa kigeni "wanaoendesha harakati zao kutoka nchi jirani" kuhusika katika mauaji ya mara kwa mara katika eneo la Beni, Mashariki mwa nchi hiyo.

Askari wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) wakiwa vitani huko Matombo, kilomita 35 kaskazini mwa Beni, Kaskazini Kivu, Januari 13, 2018.
Askari wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) wakiwa vitani huko Matombo, kilomita 35 kaskazini mwa Beni, Kaskazini Kivu, Januari 13, 2018. AFP
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.