Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kuzama kwa kivuko Ziwani Victoria nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 19:26
Tanzania inaomboleza vifo vya zaidi ya watu 200 waliozama katika Ziwa Victoria, kurejea kwa mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi nchini Uganda na Tume ya Uchaguzi nchini DRC, kutangaza majina ya wagombea urais mwezi Desemba.