Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Polisi wa Uganda wakabiliana na waandamanaji kaskazini mwa nchi hiyo, hati ya kimataifa ya kukamatwa Katumbi yatolewa
Imechapishwa:
Cheza - 21:18
Makala hii imeangazia hatua ya kufikishwa katika mahakama ya kijeshi kwa mbunge wa Uganda na mwanamuziki nguli Robert Kyagulanyi, anayejulikana kwa jina la Bobi Wine, kwa madai ya kumiliki silaha kinyume cha sheria baada ya kukamatwa kwake, lakini pia waziri wa sheria nchini DRC kutoa waranti wa kimataifa kukamatwa kwa mwanasiasa wa upinzani Moise Katumbi, na kimataifa kifo cha mwanamziki wa mtindo wa soul huko Marekani, Aretha Louise Franklin.