Changu Chako, Chako Changu
Miaka 45 tangu kufutwa kwa majina ya Kizungu nchini Zaire
Imechapishwa:
Cheza - 20:51
Miaka 45 tangu kufutwa kwa majina ya kizungu kwa wananchi wa Zaire zama hizo ambapo kwa leo ni Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Nini kilitokea, kwanini hatuwa hiyo? ambatana naye Ali Bilali ambae amezungmza na Benjamin Babunga mtaalamu wa Historia ya mambo ya kale.