Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kesi dhidi ya Katumbi kuahirishwa hadi mwezi Oktoba, watu 15 wauawa katika ajali ya moto jijini Nairobi Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 21:01
Katika makala hii mtangazaji ameangazia hatua ya mahakama kuu nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ya kuahirisha hadi oktoba 10, kesi ya mwanasiasa wa upinzani Moise Katumbi kwa madai kuwa aliwaajiri mamluki kutoka Marekani, siasa za Burundi, watu 15 kupoteza maisha katika ajali ya moto katika soko la Gikomba, jijini Nairobi.Pia kimataifa maandalizi ya mkutano kati ya rais wa Marekani Donald Trump na Vladmir Putin lakini pia viongozi wa ulaya kuafikiana kuhusu wahamiaji.