Wimbi la Siasa
Rais Joseph Kabila kubadilisha Katiba kuwania tena urais ?
Imechapishwa:
Cheza - 10:16
Kuna dalili kuwa rais Joseph Kabila wa DRC anapanga kuibadilisha Katiba ili kuwania urais kwa muhula wa tatu. Mabango ya picha ya rais Kabila, yaliyo na maandishi "Huyu ndio mgombea wetu" yameonekana jijini Kinshasa.Hii inamaanisha nini ? Tunajadili.