Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

DRC-CENI-JOSEPH KABILA

Imechapishwa:

Tume ya Uchaguzi nchini DRC yasema kuna uwezekano mdogo wa raia wa nchi hiyo waishio ugenini kushiriki uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Disemba mwaka huu. Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu ili kupata maoni yao kuhusu hali iliyotolewa na tume ya uchaguzi nchini DRC

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi DRC, Corneille Nangaa.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi DRC, Corneille Nangaa. Ceni Kinshasa
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.