Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Chama cha UDPS na mkutano wake mkubwa Kinshasa, Rais Kenyatta wa Kenya aeleza siasa nchini mwake, Mkutano wa viongozi wa Korea
Imechapishwa:
Cheza - 21:04
Makala ya wiki hii imeangazia hatua ya viongozi wa serikali ya Kinshasa kuruhusu mkutano wa chama cha UDPS kinachoongozwa na Felix Tshisekedi, wakati huko Kenya rais Kenyatta amesema mkutano wake na kiongozi wa upinzani haukuwakufurahisha watu wengi nchini humo, tumegusia siasa za ukanda wa afrika mashariki na kati wakati kimataifa dunia imeshangazwa na mkutano wa viongozi wa Korea zote mbili.