Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mkutano wa wafadhili kuhusu DRC wafanyika Uswis, mazishi ya Winnie Mandela pia Marekani na suala la Syria
Imechapishwa:
Cheza - 21:25
Katika makala hii umeangaziwa mkutano wa wafadhili kuchangisha pesa kwa ajili ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, kuhusu hali ya kibinadamu nchini humo wafanyika mjini Geneva uswis, lakini pia mazishi ya mama mwanaharakati aliyepinga utawala wa kibaguzi nchini Afrika kusini, bi Winnie Mandela yafanyika mjini Soweto, pamoja na yaliyojiri Rwanda, Kenya, Tanzania na kwingineko dunia, makala hii imegusia mvutano kati ya mataifa ya magharibi na Urusi kuhusu Syria.