Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kifo cha Winnie Mandela aliyekuwa mke wa Nelson Mandela, DRC yakataa kushiriki mkutano wa Geneva, Syria hali si shwari
Imechapishwa:
Cheza - 21:07
Katika makala ya juma hili tumeangazia kifo cha Winnie Mandela ambaye alikuwa mke wa rais wa kwanza mweuzi nchini Afrika kusini, hali ya usalama yaendelea kuzorota mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo huku serikali ya nchi ikiendelea na msimamo wake wa kutoshiriki katika mkutano wa Geneva kuhusu haki za binadamu, na mgomo wa wafanyakazi wa reli nchini Ufaransa, na mambo mengine