Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Tume ya umoja wa mataifa DRC yaongezewa muda wa mwaka mmoja, Kiongozi wa Korea kaskazini azuru China
Imechapishwa:
Cheza - 20:38
Katika makala hii tumeangazia hatua ya baraza la usalama la umoja wa mataifa ya kuiongezea Monusco mwaka mmoja zaidi lengo likiwa ni kufanikisha kufanyika kwa uchaguzi mkuu desemba 23 mwaka huu, lakini pia wakimbizi 1600 wa Burundi waliokuwa Rwanda warejeshwa nyumbani, na kimataifa ziara ya kiongozi wa Korea Kaskazini nchini China.Karibu kujiunga na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka, kusikiliza zaidi