Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Marais wa Afrika kutia saini mkataba wa soko la pamoja

Imechapishwa:

Wakuu wa nchi za Afrika, wamekutana jijini Kigali nchini Rwanda kutia saini mkataba wa kuwezesha biashara huru na soko la pamoja.Je, hatua hii inamaanisha nini ? Tunajadili.

Viongozi wa bara Afrika wakiwa Kigali ncuini Rwanda kuhudhuria mkutano wa kutia saini mkataba wa kufanya biashara
Viongozi wa bara Afrika wakiwa Kigali ncuini Rwanda kuhudhuria mkutano wa kutia saini mkataba wa kufanya biashara twitter.com/AUC_MoussaFaki?lang=en
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.