Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya Raila Odinga akutana na rais Uhuru Kenyatta, mauaji mapya DRC
Imechapishwa:
Cheza - 21:25
Makala hii imeangazia hatua ya kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga kukutana na rais Uhuru Kenyatta mwishoni mwa juma, mauaji ya watu sita katika maeneo ya Eringeti wilayani Beni mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, serikali ya Rwanda yaanza kufunga makanisha, wakati kimataifa rais Trump wa Marekani kukubali kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un mwezi mei mwaka huu.