Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Upinzani walalamikia kusumbuliwa Burundi

Imechapishwa:

Serikali ya Burundi, inaendelea na mchakato wa kuibadilisha Katiba ili kuruhusu mgombea urais kuongoza kwa muda wa miaka saba badala ya mitano. Upinzani unalalamika kuwa, wanasiasa na wanaharakati wake wanakamatwa na kuzuiwa wanapojaribu kuwashawishi wananchi kukataa mchakato huo. Tunachambua hili.

Rais Pierre Nkurunziza
Rais Pierre Nkurunziza © RFI-KISWAHILI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.