Habari RFI-Ki
Monusco kupunguzwa DRC wakati huu kukishuhudiwa utovu wa usalama
Imechapishwa:
Cheza - 09:37
Mjadala mkali unaendelea miongoni mwa raia wa dRC kuhusu azimio la UN kupunguza wanajeshi wake wa kulinda amani nchini DRC MONUSCO wakati huu kukishuhudiwa hali ya utovu wa usalama,je ni wakati muafaka?