Karibu katika makala ya habari rafiki,Ni rasmi sasa hakutakuwa na uchaguzi mkuu wa raisi mwishoni mwa mwaka huu nchini DRC kama ilivyokuwa ikitarajiwa,muda wa siku 90 wa kuitishwa kwa uchaguzi kabla ya Dec 31 2016 umepita.Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi CENI Corneille Nangaa amesema kwa sasa kipaumbele ni kutangaza kalenda ya uchaguzi.Je hatua hii itaathiri vipi mchakato wa amani nchini DRC?
Vipindi vingine
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57 -
09:31
-
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake20/03/202410:08 -
09:31