Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wakimbizi wa Burundi wauawa DRC, kikao cha wabunge nchini Uganda chaahirishwa
Imechapishwa:
Cheza - 21:31
Makala hii imeangazia mauaji ya wakimbizi 39 wa Burundi mjini Kamanyola mashariki mwa DRC, tume ya uchaguzi nchini Kenya imetangaza kuwa oktoba 26 mwaka huu utafanyika uchaguzi wa marudio huku kukiwa vita ya maneno kati ya wanasiasa, kikao cha umoja wa mataifa mjini New York, Marekani. Na tetemeko la ardhi laua zaidi ya mia mbili nchini Mexico.