Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Upinzani nchini Kenya watoa masharti mapya, vikao vya bunge kuanza nchini DRC
Imechapishwa:
Cheza - 21:09
Makala hii inaangazia masharti mapya ya muungano wa upinzani wa nchini Kenya, kufunguliwa kwa vikao vya bunge nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Serikali ya Tanzania yakanusha kuwa na ushirikiano wa siri na Serikali ya Korea Kaskazini, jiji la Paris nchini Ufaransa lateuliwa kuwa mwenyeji wa michezo ya olimpiki 2024, lakini Korea ya kaskazini na makombora yake pia tukio la kulipuka kwa bomu nchini Uingereza.