Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya aahidi kuenda mahakamani, Ufaransa yataka DRC kuandaa uchaguzi mwaka huu
Imechapishwa:
Cheza - 21:07
Katika makala hii tumeangazia hatua ya kinara wa upinzani nchini Kenya Raia Odinga kuahidi kuwa ataenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika agosti 08 mwaka huu nchini humo uchaguzi ambao ulimpa ushindi Uhuru Kenyatta, na huko DRC mjumbe maalum wa Ufaransa kwenye baraza la usalama la umoja wa mataifa aitaka serikali ya nchi hiyo kutangaza kalenda ya uchaguzi mwaka huu, kuapishwa kwa rais Paul Kagame wa Rwanda na hali mapigano nchini Yemen.