Baada ya Umoja wa Mataifa kuitaka serikali ya DRCongo kuheshimu haki ya raia kuandamana kama inavyoagizwa na katiba ya nchi hiyo, serikali kupitia waziri wake wa habari ambae pia ni msemaji wa serikali Lambert Mende amesema serikali inaheshimu haki ya raia kuandamana.Hii inakuja wakati huu vyombo vya Usalama nchini humo vikiwatia nguvuni watu zaidi ya 120 waliojaribu kuandamana katika miji kadhaa ya nchi hiyo, ambapo umoja wa Mataifa unasema wengi wa waliokamatwa waliachiwa huru ispokuwa watano kutoka mashirika ya kiraia mjini Lubumbashi.
Vipindi vingine
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57 -
09:31
-
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake20/03/202410:08 -
09:31