Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kuzuru Nice, makaburi mapya ya pamoja yagundulika Kasai, DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:56
Makala hii imeangazia maadhimisho ya sikukuu ya kitaifa nchini Ufaransa, maarufu kama fete nationale, ambapo rais wa Marekani Donald Trump amealikwa kama mgeni rasmi; mashambulizi dhidi ya soko kuu la Kinshasa nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, siasa za Kenya, Rwanda, na Sudan, wakati kimataifa pia tumegusia Korea ya kaskazini na mvutano wa kimataifa kuhusu makombora yake.