Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Hali ya usalama kuzorota DRC, mchakato wa uchaguzi nchini Kenya, na
Imechapishwa:
Cheza - 20:58
Katika makala hii tumeangazia hali ya usalama kuendelea kuzorota mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, mahakama kuu nchini Kenya kusitisha zoezi la uchapishaji wa makaratasi ya kupigia kura, na kifo cha aliyekuwa waziri wa ulinzi nchini humo, siasa za Tanzania, umoja wa afrika, na mkutano wa mataifa wananchama wa G20 mjini Humberg Ujerumani, Korea kaskazini kurusha kombora licha ya upinzani wa dunia.