Habari RFI-Ki
Baraza la maaskofu DRC Cenco laingiwa wasiwasi juu ya mvutano miongoni mwa wanasiasa
Imechapishwa:
Cheza - 09:14
Maaskofu wa kanisa katoliki wanaoratibu mchakato wa mazungumzo ya kisiasa nchini DRC wameonesha wasiwasi juu ya mvutano uliopo miongoni mwa wanasiasa kuwa unatishia kuchelewa hatua za kuandaa uchaguzi nchini humo...