Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Hofu ya waasi wa zamani wa M 23 kurejea Mashariki mwa DRC

Imechapishwa:

Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinaeleza kuwa waasi wa zamani wa M 23 wamerejea katika jimbo la Kivu Kaskazini, na jeshi la serikali linasema limekuwa likipambana na waasi hao katika Wilaya ya Rutshuru na kuzua wasiwasi.Tunasikia kutoka kwa raia wa DRC.

Wanajeshi wa Monusco wakiwa kwenye doria Mashariki mwa DRC
Wanajeshi wa Monusco wakiwa kwenye doria Mashariki mwa DRC UN Photo/Sylvain Liechti
Vipindi vingine
  • 10:04
  • 10:02
  • 09:47
  • 09:59
  • 09:35
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.