Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Wanasiasa wa Upinzani nchini Burundi waomba kukutanishwa na serikali ana kwa ana

Imechapishwa:

Wanasiasa wa Burundi wamemuomba msuluhishi wa mzozo wa kisiasa Benjamin Mkapa kuwakutanisha ana kwa ana na serikali ya Burundi ili kufikia muafaka wa kudumu.Hatua hiyo ni baada ya msuluhishi kukutana na wanasiasa wa pande zote mbili juma hili.

Raisi wa Burundi Pierre Nkurunziza
Raisi wa Burundi Pierre Nkurunziza ????
Vipindi vingine
  • 09:48
  • 09:57
  • 09:31
  • 10:08
  • 09:31
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.