Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mauaji ya mjini Kasese Uganda, Shambulio katika Kambi ya Luhanga DRC
Imechapishwa:
Cheza - 21:10
Makala ya wiki hii imeangazia mauaji yaliyofanyika huko Kasese nchini Uganda, na kule DRC katika kambi ya Luhanga, mashariki mwa nchi hiyo, na wanasiasa wa upinzani kusisitiza kuendelea na maandamano ya kumshinikiza rais Joseph Kabila kuondoka madarakani, ushindi wa kiongozi wa upinzani nchini Gambia, wakati kimataifa, tumeangazia habari za kimataifa ikiwemo hatua ya rais wa Ufaransa Francois Hollande kutangaza kutowania urais kwa muhula wa pili mwaka ujao..