Mwenyekiti wa tume huru ya Uchaguzi nchini DRC Corneille Nangaa amesema tume yake iko tayari kuandaa uchaguzi katika mwaka 2017 ikiwa itawezeshwa.Akizungumzia uwezekano huo kwenye ofisi kuu ya Seneti, Nangaa amesema tume ya uchaguzi ina uwezo wa kuandaa uchaguzi katika hali ya utulivu, na kwamba Julai 31 mwaka ujao watakuwa wamemaliza kuwaandika wapiga kura, hivyo kuna uwezekano wa kuitisha uchaguzi Oktoba 30, 2017.
Vipindi vingine
-
Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal
27/03/202409:48 -
Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?26/03/202409:57 -
09:31
-
Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana
Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake20/03/202410:08 -
09:31