Changu Chako, Chako Changu
Sampling kwenye historia na utamaduni wa muziki
Imechapishwa:
Cheza - 20:29
Juma hili tumeongea na moja wa watayarishaji wa muziki nchini Tanzania anayejulikana kwa jina la DH au Double H tukiteta mambo ya sampling kwenye histotria na utamaduni wa muziki barani Afrika na duniani kwa ujumla na burudani ya muziki kama kawaida.