Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Maandamano ya mjini yasababisha hasara kubwa mjini Kinshasa, DRC

Imechapishwa:

Katika mjadala wa wiki, tunaangazia hali inayojiri nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, baada ya kushuhudia maandamano ya nchi nzima kama ilivyoitishwa na upinzani mwanzoni mwa juma hili, ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha huku ofisi za vyama vya kisiasa zikichomwa moto.Kulizungumzia tumewaalika Reubens Mikindo ni mwenyekiti wa chama cha upinzani cha UDPS cha kinara wa upizani huko DRC-Etienne Tshisekedi mkowani Kivu Kaskazini akiwa Kinshasa, na Omari Kavota ni mwanaharakati wa haki za binadamu akiwa mjini Beni.

Waokoaji wakitoa huduma kwa majeruhi baada ya kuchmwa moto Ofisi za vyama vya upinzani mjini Kinshasa, septemba 20 2016
Waokoaji wakitoa huduma kwa majeruhi baada ya kuchmwa moto Ofisi za vyama vya upinzani mjini Kinshasa, septemba 20 2016 REUTERS/Kenny Katombe
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.