Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mazungumzo ya kitaifa kuhusu DRC kuahirishwa
Imechapishwa:
Cheza - 21:27
Makala ya mtazamo wako kwa yaliyojiri juma hili, imeangazia siasa inayoendelea nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, wakati huu nchi hiyo ikijiandaa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, ambapo wananchi nchini humo wameshuhudia kurejea nyumbani kwa mpinzani mkongwe nchini humo Etienne Tshisekedi, na mikutano ya kisiasa.lakini pia kuteketezwa moto kwa mashule kadhaa nchini Kenya, na azimio mpya la baraza la umoja wa mataifa kuhusu Burundi, wakati kimataifa tumegusia siasa za Marekani.Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza zaidi.