Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Jean Pierre Bemba ahukumiwa miaka 18 jela

Imechapishwa:

Katika mjadala huu wachambuzi wa siasa Haji Kaburu wa Tanzania na mwanaharakati  wa haki Omari Kavota wa DRC wanaangazia hukumu iliyotolewa na ICC kwa makamu wa rais wa zamani wa DRC, Jean Pierre Bemba, karibu ufahamu mengi.

Mkamu wa zamani wa rais wa DRC Jean-Pierre Bemba akiwa mahakamani 21 Juni 2016.
Mkamu wa zamani wa rais wa DRC Jean-Pierre Bemba akiwa mahakamani 21 Juni 2016. REUTERS/Michael Kooren
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.