Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Wakongomani wakumbuka kifo cha Chebeya

Imechapishwa:

Katika makala ya wiki hii,  tunaangazia baadhi ya matukio makubwa yaliyotokea barani Afrika na kwingineko duniani ikiwemo wanaharakati wa haki za binadamu kuadhimisha  miaka sita tangu kuuliwa kwa mwanaharakati Floribert Chebeya  nchini DRC lakini pia maandamano ya upinzani nchini Kenya miongoni mwa matukio mengine. 

Mawakili wa upande wa utetezi wakisikiliza kesi ya mauaji ya Chebeya, Agosti 29 2014 mjini Kinshasa.
Mawakili wa upande wa utetezi wakisikiliza kesi ya mauaji ya Chebeya, Agosti 29 2014 mjini Kinshasa. AFP PHOTO / Junior D. Kannah
Matangazo ya kibiashara

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.