Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wakongomani wakumbuka kifo cha Chebeya
Imechapishwa:
Cheza - 21:07
Katika makala ya wiki hii, tunaangazia baadhi ya matukio makubwa yaliyotokea barani Afrika na kwingineko duniani ikiwemo wanaharakati wa haki za binadamu kuadhimisha miaka sita tangu kuuliwa kwa mwanaharakati Floribert Chebeya nchini DRC lakini pia maandamano ya upinzani nchini Kenya miongoni mwa matukio mengine.