Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Msako wa Mabaki ya ndege ya Misri waendelea
Imechapishwa:
Cheza - 21:11
Ni wiki ambayo ilishuhudia kupatikana kwa mabaki ya ndege ya shirika la ndege la Misri iliyoanguka katika Bahari ya Meditterenian, mwanasiasa wa upinzani nchini DRC Moise Katumbi Chapwe ashtumiwa na serikali kuhatarisha usalama wa ndani.Tutakuwa na haya na mengine mengi.