Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Msako wa Mabaki ya ndege ya Misri waendelea

Imechapishwa:

Ni wiki ambayo ilishuhudia kupatikana kwa mabaki ya ndege ya shirika la ndege la Misri iliyoanguka katika Bahari ya Meditterenian, mwanasiasa wa upinzani nchini DRC Moise Katumbi Chapwe ashtumiwa na serikali kuhatarisha usalama wa ndani.Tutakuwa na haya na mengine mengi.

Mabaki ya ndege MS804 ya shirika la EgyptAir aliyoanguka bahari Mediteranean mei 19.
Mabaki ya ndege MS804 ya shirika la EgyptAir aliyoanguka bahari Mediteranean mei 19. Egyptian Military/ Reuters
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.