Pata taarifa kuu
KENYA-UCHAGUZI-SIASA

Kenya: Upinzani wailaumu Tume ya uchaguzi kwa kuwekwa kando

Upinzani nchini Kenya unaishtumu tume ya Uchaguzi nchini humo kwa kutowashirikisha katika mipango ya maandalizi ya uchaguzi Mkuu mwaka 2017.

Raila Odinga, waziri mkuu wa zamani wa Kenya akiwa pia kiongozi wa upinzani.
Raila Odinga, waziri mkuu wa zamani wa Kenya akiwa pia kiongozi wa upinzani. REUTERS/Noor Khamis
Matangazo ya kibiashara

Hatua hii inakuja baada ya tume hiyo kuzindua mpango wake wa miaka mitano kuelekea uchaguzi huo.

Muungano wa upinznai CORD umekuwa ukitaka Makamishena wa tume hiyo na mfumo mzima wa uchaguzi kubadilishwa kutokana na changamoto zilizshuhudiwa mwaka 2013.

Naibu Kamishena wa tume hiyo Bi Lilian Mahiri Zaja amesema wao waliwashirisha wapinzani.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.